News/Stories

TANGAZO KWA WANACHAMA WA TAMWA

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive
 

CHAMA CHA WANAHABARI WANAWAKE TANZANIA TAMWA  kinawatangazia  wanachama  wake  kuwa  kutakuwa  na  Mkutano  Mkuu  wa  Wanachama (AGM)   utakaofanyika  Juni 13-14, 2025.

LENGO LA MKUTANO MKUU WA AGM NI:

• Uchaguzi wa wanachama  wapya  kwamujibu   wa Katiba ya Chama.
• Tathmini ya  mwenendowa chama – mafanikio, changamoto, namwelekeompya.
• Uwasilishajiwa  taarifa  ya  mapato  namatumizi  ya chama.
• Uwasilishaji  wa  taarifa za   utekelezaji  wamiradi  namustakabali  wa TAMWA.
• Fursaya   wanachamakutoa  maoni  namapendekezo  ya  kuimarisha  mchangowa TAMWA katikajamii.

Mkutano huu utafanyika tarehe 13-14 Juni, 2025

• Eneo: Ukumbi wa TAMWA, Sinza, Mori, Dar es Salaam
• Moduli: Kwa kufika ofisi za TAMWA na kwa njia ya Zoom 
• Muda: Saa 4 asubuhi

Wanachama  wote  mnahimizwa  kuhudhuria

Kwa maelezo  zaidi, tafadhaliwasiliananaTAMWA kupitia;

Barua pepeThis email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it. Simu:0716622200

Latest News and Stories

Search